Testo di 'Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny)' di Diamond Platnumz

Vuoi conoscere il testo di Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) di Diamond Platnumz? Sei nel posto giusto.

Se hai cercato a lungo il testo della canzone Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) di Diamond Platnumz, inizia a scaldare la voce, perché non potrai smettere di cantarla.

Oooh! Hizo ni zama za kale
Oooh! Sangulo na pepe kale
Zilipendwa

Eh! Kizamani, kutoa card na maua (zilipendwa)
Wanataka money ukilipa unakwarua (zilipendwa)
Ufundi kitandani, sio maguvu kujikamua (zilipendwa)
Unafika ndani, hujatomasa unachanua (zilipendwa)
Wanawake wa leo wanataka mikakati

Ukiwa mzugaji haki ya mungu huwapati (zilipendwa)
Mapenzi ya video yatakutoa kamasi
Eti nikinywa maji nakuona kwenye glass (zilipendwa)
Eeh! Kupiga chabo getto (zilipendwa)
Mkono na dettol (zilipendwa)
Sunche na kapeto (zilipendwa)
Majay na Mobeto (zilipendwa)
Oooh! Hizo ni zama za kale
Oooh! Sangulo na Pepe kale

Mmm bolingo ndombolo (zilipendwa)
Twanga chipolopolo (zilipendwa)
Na maji ya kandoro (zilipendwa)
Simba wa Morogoro (zilipendwa)
Tani sipati sukari guru kabisa (zilipendwa)
Hivi yuko wapi Mb Dogg wa Latifa (zilipendwa)
Babu Tale wapi papa misifa (zilipendwa)
Siku hizi party hatuendagi Ibiza (zilipendwa)
Mpira na Pele (zilipendwa)
Tanu na Nyerere (zilipendwa)
Asha Ngedere (zilipendwa)
Arusi mabele (zilipendwa)
Eti Uuze nyumba uweke heshima bar
Eti Ulazimishe aliyekukataa

Sabuni Kicherema (zilipendwa)
Mabanda ya Cinema (zilipendwa)
Lipumba na lema (zilipendwa)
Diamond na Wema (zilipendwa)
Ooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm... Na sogi dogg (zilipendwa)
Chanel analogy (zilipendwa)
Movie za saibogy (zilipendwa)
Van Dame, Anod (zilipendwa)
Una nibeep nikupigie umeiweka vocha (haloo)
Ule wewe nilipe mie umeniona Lofa
Tena na madada wenye majina acheni visa
Unaitwa ukale diner mnakwenda Tisa

Nywele za kichina (zilipendwa)
Pochi za kuazima (zilipendwa)
Zena na betina (zilipendwa)
Bashite gwajima (zilipendwa)
Ooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm Amitabh Bachchan (zilipendwa)
TV kwa jirani (zilipendwa)
Madee Rayvany (zilipendwa)
Zari Ivan (zilipendwa)
Yanini kunichunguza naish wapi (zilipendwa)
Nala, chapati kwa maini au makange (zilipendwa)
Kutwa kunikalia chini unakamati
Oh ya Rabi masikini kuni dhihaki
Ah sampamba pangala (zilipendwa)
P Funk Kajala (zilipendwa)
Onyango na Jangala (zilipendwa)
Rufufu mkandala (zilipendwa)
Vya nini vidomo domo tutupiane tunguli
Kisa pesa za mkopo msimu wa Magufuli
Ah, Bongoman yondo (zilipendwa)
Sikinde Msondo (zilipendwa)
Magari ya Udongo (zilipendwa)
Babu wa Loliondo (zilipendwa)
Ooh hizo ni zama za kale (zilivumaga sana)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)

Ah TV za kichogo (zilipendwa)
Wakina Man Dojo (zilipendwa)
Na Iyobo (zilipendwa)
Akina Hatupogo (zilipendwa)
Eti msiba ukiona Bundi unataka kupagawa
Tulale makundi makundi kuogopa popo bawa
Zuwena nitampata wapi (zilipendwa)
Zuwena wa zile nyakati eh (zilipendwa)
Kujifanya mapanga sunna wamepinda
Wengine wabeba vyuma na hakuna marinda

Iddi Amini dada (zilipendwa)
Miuno ya H Baba (zilipendwa)
Domo Chai Jabba (zilipendwa)
Michezo ya kibaba baba (zilipendwa)
Wale wapiga deal sasa hali mbaya (zilipendwa)
Hizi zama za Magufuli si za Jakaya (zilipendwa)
Ugomvi wa Mr. Nice na Dudu Baya (zilipendwa)
Vikatuni vya madenge baba ubaya (zilipendwa)
Muhogo mchungu mr. Bean, wapi bambo (zilipendwa)
Wale wazamiaji wale wa melini wazee wang'ambo
Hivi yuko wapi Banjamini wa Mambo Jambo
Wa Vietnam waporini vita na Rambo

Eh ndanda Mjela jela (zilipendwa)
Kidali Kombolela (zilipendwa)
Max na Zembwela (zilipendwa)
Juma Nature na fela (zilipendwa)
Ooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm kamanda Daz Nunda (zilipendwa)
Kalumanzila Ndumba (zilipendwa)
Simu za Dole gumba (zilipendwa)
Johari na Kanumba (zilipendwa)

Wasafii
Zilipendwa, zilipendwa
Zilipendwa, zilipendwa
Ohlilelelileeee
Zilipendwa

Ci sono molte ragioni per voler conoscere il testo di Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) di Diamond Platnumz.

Sapere cosa dice il testo di Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) ci permette di mettere più sentimento nell'interpretazione.

Sentiti come una star cantando la canzone Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) di Diamond Platnumz, anche se il tuo pubblico sono solo i tuoi due gatti.

Nel caso in cui la tua ricerca del testo della canzone Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) di Diamond Platnumz sia perché ti fa pensare a qualcuno in particolare, ti proponiamo di dedicargliela in qualche modo, ad esempio inviandogli il link di questo sito web, sicuramente capirà l'indiretta.

Qualcosa che succede più spesso di quanto pensiamo è che le persone cercano il testo di Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) perché c'è qualche parola nella canzone che non capiscono bene e vogliono assicurarsi di cosa dica.

Stai litigando con il tuo partner perché capite cose diverse ascoltando Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny)? Avere a portata di mano il testo della canzone Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) di Diamond Platnumz può risolvere molte dispute, e lo speriamo.

È importante notare che Diamond Platnumz, nei concerti dal vivo, non è sempre stato o sarà fedele al testo della canzone Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny)... Quindi è meglio concentrarsi su ciò che dice la canzone Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) nell'album.

Speriamo di averti aiutato con il testo della canzone Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) di Diamond Platnumz.

Su questa pagina hai a disposizione centinaia di testi di canzoni, come Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) di Diamond Platnumz.